Msaada; Mjasiriamali aliyefanikiwa kupata mkopo PPF!

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,131
27,067
Wadau nina taharifa kwamba kuna mpango umeanzishwa na PPF wakishirikiana na TPB kuwezesha wajasiriamali!
Wanasema ukiweka akiba ndani ya miezi 6(mchango wa kila mwezi), unaweza kukopa mpaka mara 3 ya kiasi ulichoweka!

Je kuna yeyote mwenye uzoefu na hili au ni mbinu tu ya kuvuta visenti vyetu?

Natanguliza shukrani!
 
Back
Top Bottom