Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,131
- 27,067
Wadau nina taharifa kwamba kuna mpango umeanzishwa na PPF wakishirikiana na TPB kuwezesha wajasiriamali!
Wanasema ukiweka akiba ndani ya miezi 6(mchango wa kila mwezi), unaweza kukopa mpaka mara 3 ya kiasi ulichoweka!
Je kuna yeyote mwenye uzoefu na hili au ni mbinu tu ya kuvuta visenti vyetu?
Natanguliza shukrani!
Wanasema ukiweka akiba ndani ya miezi 6(mchango wa kila mwezi), unaweza kukopa mpaka mara 3 ya kiasi ulichoweka!
Je kuna yeyote mwenye uzoefu na hili au ni mbinu tu ya kuvuta visenti vyetu?
Natanguliza shukrani!