Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

Tuanzie kwanza kwenye ufaulu wake GPA

isije kuwa tunajadili kumbe degree ya kwanza na GPA Ya 2.5 Hata akiwa Prof hawezi kuwa Lecturer wa chuo,

Ukwa kuwa kufika phd si kigezo cha kuwa na sifa za kuwa mwalm wa chuo kikuu.

Pili kama sijasoma vibaya umesema amepata kazi ya kufundisha chuo hapa bongo, sasa kama amepata kazi,barua yake haijaonesha ataanza na sh???

Pi Phd holder hawezi,kupata kiwango cha mshahara mpaka ategemee JF kupata data halisi.

Labda kama uzi,sijaelewa vzr nisamehe bure.

Lakini mishahara nahis inatofautiana kutegemeana na muda wa kufanya kazi.
Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.
Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo vikuu kufundisha imekaaje mfano PUTS 3 au 4.

Mwenye kujua msaada mtanzania mwenzetu afanye uamuzi wa maana.

Asante
 
Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.
Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo vikuu kufundisha imekaaje mfano PUTS 3 au 4.

Mwenye kujua msaada mtanzania mwenzetu afanye uamuzi wa maana.

Asante
Nina Ndugu South Kule wako vizuri mno, kama yuko home sick, then ajiandae na four Milioni hivyo tu ashiriki ujenzi nchi ya Samia
 
Tuanzie kwanza kwenye ufaulu wake GPA

isije kuwa tunajadili kumbe degree ya kwanza na GPA Ya 2.5 Hata akiwa Prof hawezi kuwa Lecturer wa chuo,

Ukwa kuwa kufika phd si kigezo cha kuwa na sifa za kuwa mwalm wa chuo kikuu.

Pili kama sijasoma vibaya umesema amepata kazi ya kufundisha chuo hapa bongo, sasa kama amepata kazi,barua yake haijaonesha ataanza na sh???

Pi Phd holder hawezi,kupata kiwango cha mshahara mpaka ategemee JF kupata data halisi.

Labda kama uzi,sijaelewa vzr nisamehe bure.

Lakini mishahara nahis inatofautiana kutegemeana na muda wa kufanya kazi.
Huko south wasingeweza mpokea na hiyo 2.5 GPA mana ni chuo pia. Hapa bongo actually hajapata amepata south so anapiga hesabu kama akubali au asubiri kutafuta bongo. Yeye target arudi nyumbani. So uamuzi unategemea na trade-off ya mambo mengi ikiwepo hii ya green pasture.
 
Acha Matusi Archaelogy hio fani ni ya watu makini sana sana heshimu wengine uheshimike
Ndo haya ya darasa la saba wanapiga kelele bungeni kuwa maprofesa hamna kitu. Yani wako tayari hata tufute haya mambo ya kusoma watu waishi tu mambulula.
 
Mshahara wake sidhani kama unavuka net ya 3.5m ila kwa mtu ambaye anaingia huko vyuoni sio tu suala la mshahara, anabidi aangalie uwezekano wa kukua professionalyl na academically. Kwa uelewa wangu mdogo PhD holder ana majukumu matatu akiajiriwa chuoni ambayo ni research, consultancy, teaching.

Ajiulize kati ya huko Afrika ya Kusini na Tanzania
- Ni wapi pana fursa kubwa ya kufanya tafiti (kwamba atapata research funds, na connections kwenye field yake kiurahisi) ?

- Ni wapi kuna uwezekano wa kupata consultancy projects kubwa na kujijenga jina lake ?

- Ni wapi pana uwezekano wa kupata support pale anapotaka kufanya machapisho (publishing) ya matokeo ya tafiti zake.

- Ni wapi pana masharti rahisi zaidi kupanda ngazi kutoka pale alipoajiriwa.

- Ni wapi kuna teaching workload yenye unafuu ili aweze kufanya mambo ya personal growth.

Maisha ya academics yanahitaji ujanja sana wa maisha kutegemea mshahara peke yake kama kigezo cha wapi afanye kazi inaweza kuwa si jambo sahihi.
Lakini inashangaza pia, Kama PhD holder hawezi kupata taarifa za uhakika toka reliable sources anazotaka kuajiriwa, Hadi aulize humu jf? Hana access na information centers, hana marafiki vyuoni, hata Kama kaka zake nje? Haji likizo na kutafuta connections?
 
Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.
Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo vikuu kufundisha imekaaje mfano PUTS 3 au 4.

Mwenye kujua msaada mtanzania mwenzetu afanye uamuzi wa maana.

Asante
Pumbavu..nyau mkubwa we! Baadhi ya watu wanapata PhD hovyo kabisa. Iwe ni ndugu yako au wewe mwenyewe ndiye unaeuliza na kumsingizia ndugu yako.

Umashindwa kufanya utafiti na badala yake unakuja kuulizia hapa?

Chefuuuu!!!
 
Pumbavu..nyau mkubwa we! Baadhi ya watu wanapata PhD hovyo kabisa. Iwe ni ndugu yako au wewe mwenyewe ndiye unaeuliza na kumsingizia ndugu yako.

Umashindwa kufanya utafiti na badala yake unakuja kuulizia hapa?

Chefuuuu!!!
Acha ushoga. Sasa utafiti ufanyikie wapi. Mbona suala la mshahara unaona kama ni big deal. Kuuliza JF kuna tofauti gani na kuuliza mtu wa mtaani. Nenda muulize mtanzania yeyote mshahara wako sh ngapi akikwambia basi ujue sio sahihi.
 
Hana lolote! PhD holder anaulizia ngazi ya mshahara mitandaoni!!!!!!!!
Tulia mat**ko wewe. Ulitaka aulizie kwa bibi yako. Infact ni mimi ndo nauliza mana mi pia nimeshangaa kuona anarudi Tz na ameacha kwenda south Africa nilitaka why ama amechanganyikiwa
 
Back
Top Bottom