steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Nasikiaga kwenye meli Kuna vitengo vingi Sasa Mimi Ni welder nimesoma (welding and metal fabrication) je siwezi fanya kazi kwenye meli?
Mwenye uelewa anisaidie
Mwenye uelewa anisaidie
Ndugu sifahamu chochote ndiyo nataka nijueKwann usiweze. Mtu wa kwanza kukuwezesha ni wewe mwenyewe. Je! Unauelewa wowote kuhusu meli? Unazijua t&c za kuajiriwa huko
Kufanya kazi kwenye meli hasa za mizigo zinazosafiri ni vyema ukasomea kozi za ubahariaNdugu sifahamu chochote ndiyo nataka nijue
Kwa Nini ukachomelee kwenye meli wakati mtaani Bado tunauhitaji mkubwa wa madirisha na mageti?Nasikiaga kwenye meli Kuna vitengo vingi Sasa Mimi Ni welder nimesoma (welding and metal fabrication) je siwezi fanya kazi kwenye meli?
Mwenye uelewa anisaidie
Sizani kma uhitaji unaendan na thamani ya kaziKwa Nini ukachomelee kwenye meli wakati mtaani Bado tunauhitaji mkubwa wa madirisha na mageti?
Unahisi thamani ya kazi yako inafaa kufanyika kwenye meli?je unadhani kwenye meli Ndio utalipwa vizuri au?Sizani kma uhitaji unaendan na thamani ya kazi
Nahisi ntalipwa zaidi maana huku nshafanya Sana I was busy for nothingUnahisi thamani ya kazi yako inafaa kufanyika kwenye meli?je unadhani kwenye meli Ndio utalipwa vizuri au?
Okay,kila rakheri..ngoja tusubiri wajuviNahisi ntalipwa zaidi maana huku nshafanya Sana I was busy for nothing
Inabidi utafute kiwanda cha meli basi, kwani sidhani kama ndani ya meli kuna kazi za kutosha za kuchomelea na kukufanya wewe uwe wa thamani.Nahisi ntalipwa zaidi maana huku nshafanya Sana I was busy for nothing
Sahihi kabisa mkuu pia Kama ni mwanza afike kule ilemela boatyard kuna mradi pia unaendelea.Watafute Songoro marine kampuni ya mtanzania imekula tenda ya kutengeneza meli na vivuko vya serikali. Saiv wanamradi fulani kigamboni wamecamp mbele kidogo ya mikadi pale. Kajaribu bahati yako.
Sasa ndugu niunganishe naoKuna jamaa nawafahamu wabongo wapo oman,wanafanya kazi za welding kwenye meli,Tena elimu zao za veta.
Position zote nachomawewe ni welder well je unachoma vyuma kwa mitindo ipi kati ya hii
Overhead or underground tu?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nachoma iverhead, ground, vertical piawewe ni welder well je unachoma vyuma kwa mitindo ipi kati ya hii
Overhead or underground tu?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app