Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Bila shaka wazima wa afya. Kama wiki moja imepita mke wangu amekuwa anaugulia maumivu ya tumbo, Hali hiyo baada ya kuzidi leo tumeenda hospital na baada ya vipimo imeonekana ana Mimba na imetunga nje ya mfuko wa uzazi.
Mimba Ina Kama wiki tatu na baada ya majibu hayo nimeogopa maana ni Mimba ya kwanza na Sina experience yoyote. Doctor kasema turudi baada ya Kama wiki moja na nusu Kuna dawa atapewa.
Sasa sijajua hiyo dawa itakuwa ni kuirudisha kwenye mfuko wa uzazi au vipi.
Msaada, kwa anayejua Hali hii ikitokea madhara yake yakoje na haiwezi kuleta shida wakati wa kujifungua?
Mimba Ina Kama wiki tatu na baada ya majibu hayo nimeogopa maana ni Mimba ya kwanza na Sina experience yoyote. Doctor kasema turudi baada ya Kama wiki moja na nusu Kuna dawa atapewa.
Sasa sijajua hiyo dawa itakuwa ni kuirudisha kwenye mfuko wa uzazi au vipi.
Msaada, kwa anayejua Hali hii ikitokea madhara yake yakoje na haiwezi kuleta shida wakati wa kujifungua?