hazard da king
Member
- Jun 18, 2017
- 13
- 3
Hello DC,,, ni miez kadhaa sasa nasumbuliwa na meno magego (kulia na kushoto) hasa ninapokula chakula nahc yametoboka Naomba ushauri na msaada tafadhali maana inafika wakati nakichukia chakula hasa nyama wakati mwingine hata matunda maana mabaki yanaumiza meno.