Qassy boee
Member
- Nov 6, 2019
- 95
- 82
kuhusu dentist jino
liliotoboka
liliotoboka
Kama upo Dar nenda Muhimbili kwenye Clinic ya Meno(School of Dentistry) upande wa kulia baada ya kuingia getini, utapata majibu sahihi ya shida yakoKuna uwezekano wa mtu mwenye meno
yaliyotoka nje kupunguzwa kitaalamu? Kama upo ni sehemu gani huduma hiyo inapatikana kwa Dar es salaam?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa primary niling'oa jino moja lilitazama ndani ya mdomo.. halikuota jingine hadi leo... maana nilikuwa nachekwa sanaKuna uwezekano wa mtu mwenye meno
yaliyotoka nje kupunguzwa kitaalamu? Kama upo ni sehemu gani huduma hiyo inapatikana kwa Dar es salaam?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi mkuu wana huduma nzuri ya kupangilia meno?Uwezekazo upo hata wa kuyapanga vizuri kama yamekaa songombingo (hayajakaa sawa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimbili wameniwekea hayo yote manne juu. Naenda kula muwa sasa hivi na sitoi meno. Hiyo kwako nadhani ni kazi ndogo. Ninayo mwaka wa 6 sasaKuna uwezekano wa mtu mwenye meno
yaliyotoka nje kupunguzwa kitaalamu? Kama upo ni sehemu gani huduma hiyo inapatikana kwa Dar es salaam?
Sent using Jamii Forums mobile app
shemu gan hyo wanafanya hvoUwezekazo upo hata wa kuyapanga vizuri kama yamekaa songombingo (hayajakaa sawa)
Sent using Jamii Forums mobile app
bei ganiMuhimbili wameniwekea hayo yote manne juu. Naenda kula muwa sasa hivi na sitoi meno. Hiyo kwako nadhani ni kazi ndogo. Ninayo mwaka wa 6 sasa
Ila nashangaa wale mabingwa wetu pale dental unit muhimbili hawajulikani huduma zao dijui kwa nini
View attachment 1341321
Mi nilikuwa na bima pia Case yangu ilikuwa kubwa sana, yaani walitoa yote siku moja na kuweka yote. Kwa kweli Dr. hakuniambia kama anatoa yote (nisingekubali) alitumia akili sana kwani yalikuwa yameoza kwa ndani na yalikuwa yametengeneza usaha na kuniltea ugonjwa kama flu au sinus? Hivyo kuhatarisha maisha yangu pia.Alipotoa tu hayo magonjwa yalitoweka.
Bima gani ulikuwa nayo mkuu?Mi nilikuwa na bima pia Case yangu ilikuwa kubwa sana, yaani walitoa yote siku moja na kuweka yote. Kwa kweli Dr. hakuniambia kama anatoa yote (nisingekubali) alitumia akili sana kwani yalikuwa yameoza kwa ndani na yalikuwa yametengeneza usaha na kuniltea ugonjwa kama flu au sinus? Hivyo kuhatarisha maisha yangu pia.Alipotoa tu hayo magonjwa yalitoweka.
Fanya utaratibu ukachekiwe kwanza palepale ndio utibiwe na gharama utapewa. Kuna fast track na utaratibu wz kawaida.
Mi nilikuwa na bima pia Case yangu ilikuwa kubwa sana, yaani walitoa yote siku moja na kuweka yote. Kwa kweli Dr. hakuniambia kama anatoa yote (nisingekubali) alitumia akili sana kwani yalikuwa yameoza kwa ndani na yalikuwa yametengeneza usaha na kuniltea ugonjwa kama flu au sinus? Hivyo kuhatarisha maisha yangu pia.Alipotoa tu hayo magonjwa yalitoweka.
Fanya utaratibu ukachekiwe kwanza palepale ndio utibiwe na gharama utapewa. Kuna fast track na utaratibu wz kawaida.