Msaada: Mdomo unatoa mate machungu na tumbo linaunguruma

Mkwawa mnyalukoro

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
232
136
Wadau, Mimi nasumbuliwa kwa muda sasa tatizo la mdomo kuzalisha mate machungu ikiambatana na tumbo kunguruma na kadri tumbo linavyonguruma ndipo mdomo unakuwa mchungu zaidi na hali hii inakuwa mbaya zaidi hasa nyakati za asubuhi ninapoamka pia hali hii inapelekea mwili kuuma na viungo hakika nimepima maradhi yote ikiwemo UKIMWI lakin naambiwa sina tatizo lolote dah hii hali inaninyima raha sana jamani.

Kwa anayefaham dawa ili tatizo hili linitoke.

Pia kama kuna dawa ya kuondoa hali ya mdomo kuzalisha mate machungu anisaidie jina la dawa nikatafute.
 
Tatizo lako liko kwenye mfumo wa kinga na mzunguko wa damu. Kama HIV hakuna pima vingine kama allergies, TB nk
 
Wadau, Mimi nasumbuliwa kwa muda sasa tatizo la mdomo kuzalisha mate machungu ikiambatana na tumbo kunguruma na kadri tumbo linavyonguruma ndipo mdomo unakuwa mchungu zaidi na hali hii inakuwa mbaya zaidi hasa nyakati za asubuhi ninapoamka pia hali hii inapelekea mwili kuuma na viungo hakika nimepima maradhi yote ikiwemo UKIMWI lakin naambiwa sina tatizo lolote dah hii hali inaninyima raha sana jamani.

Kwa anayefaham dawa ili tatizo hili linitoke.

Pia kama kuna dawa ya kuondoa hali ya mdomo kuzalisha mate machungu anisaidie jina la dawa nikatafute.
You have GERD
Treatment
Esomeprazole 40mg twice daily 4 weeks
Metoclopramide or Domperidone twice to thrice daily
Anti-acid suspension 10mls after each meal and at night
Stop using alcohol ,fizzy drinks and coffee, spicy foods
Use pillows to elevate your head at night
Sleep 3 hours after you have your dinner

Check
OGD
H pylori stool Antigen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom