Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,173
- 1,077,274
Umekata tamaa mapema sana. Na hapa ndipo vijana wengi wa Bongo tunapofeli. Kuna nini kigumu hapo kilichokushinda?Gharama zipoje kwenye hizo test, maana kuna ufadhili mmoja nimeomba naona wameniandikia niwasilishe TOEFL/IELTS proof of english proficiency au confirmation date booked for said test.Sasa mimi nimeshakwama katika hilo na mchakato wa Maombi nishauacha sitaki shida.
Habari zote kuhusu mtihani huu zipo mtandaoni. Kama unataka vitabu na madesa halisi ya mitihani iliyopita tuwasiliane