Kijana nenda utakutana nayo huko ...Habari!! Naomba kujua katika mchepuo wa CBG huko advance utatakiwa kusoma masomo mangapi pamoja na combination yako?
Ok utakutana na Basic Applied Math na General studie ....Hapana, Kuna umuhimu mkubwa wa kujua kitu unachotakiwa kukifanya!!
Utaucheza tuuMusic wa hayo masomo upoje?
Matano chem,biolog,geo,Basic apllid mathemtcs na general studyHabari!! Naomba kujua katika mchepuo wa CBG huko advance utatakiwa kusoma masomo mangapi pamoja na combination yako?
Hahahaha mkuu kweli wewe ni jasho la kuku, halipati hata shida kutiririka, safi sanaaa nimependa sana comment yako mkuuPharmacy... Dr of medicine, Vetenary medicine, dentel, etc usahau kusoma. Labda nursing au environmental science, education, courses za SUA zpo nyng
Dogo kama una nguvu kasome pcb usije maliza form6 ukaanza mlaumu ndalichako hataki msome MD au pharmacy...Habari!! Naomba kujua katika mchepuo wa CBG huko advance utatakiwa kusoma masomo mangapi pamoja na combination yako?
hivi nursing kwa cbg wanakubali au nilisoma muongozo vibaya??Pharmacy... Dr of medicine, Vetenary medicine, dentel, etc usahau kusoma. Labda nursing au environmental science, education, courses za SUA zpo nyng
mbona wamtisha vile adi practical..Masomo 10, geog 1,2, biology, 1,2,3, chemistry, 1,2,3, GS na bam.
Pharmacy... Dr of medicine, Vetenary medicine, dentel, etc usahau kusoma. Labda nursing au environmental science, education, courses za SUA zpo nyng