c jay wa skan
Member
- Apr 9, 2015
- 6
- 0
Jamani naomaba kuuliza kama nataka kupanga kwenye nyumba za national house mchakato wake unakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
???Jamani naomaba kuuliza kama nataka kupanga kwenye nyumba za national house mchakato wake unakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika Barua unapeleka Ofisi Za NHC Za mahala ulipo ukionesha Mahitaji yako kwa maaana ya eneo unalohitaji, Ukubwa wa Nyumba unayohitaji kwa maana ya idadi ya vyumba Na kiwango chako Cha kulipa kodi kwa Mwezi
Unajaza form zao then una submit
Ikipatikana Nyumba kwa mahitaji unayotaka wanawasiliana nawe Na ukiridhika mnaingia Mkataba Baada ya kulipa kodi ya Miezi mitatu ya awali Na kulipa Dhamana 'key deposit' ya Miezi mitatu
N.B hizi Ni taratibu rasmi Za kupata Nyumba japo unatakiwa kujiongeza mbali ya hizi taratibu Za Kwenye makaratasi