Msaada matumizi ya neno mukktadha

Naombeni mnifundishe maana na matumizi kw a kupatiwa sentensi ya neno muktadha


Muktadha ni jambo linalozungumziwa katika habari, hadithi, simulizi, maigizo nk, mfano; 1---"Fisi wengi wameonekana wakiranda maeneo ya sokoni wakijitafutia masalia ya minofu ya nyama na mifupa"

2----"Ng'ombe wengi msimu huu wamekonda kwasababu ya kukosekana kwa majani ya kutosha"

Hizi ni habari mbili zenye Muktadha tofauti, hivyo unaweza kusema Muktadha ni maudhui (context).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom