Wakuu habari ya usiku huu.
Kama kichwa kinavyojieleza, mimi ni kati ya wanafunzi walio hitimu kidato cha sita 2008 shule ya sekondary Makongo.
Nimekua nikiyatafuta matokeo hayabkwa muda mrefu kwenye mitandao bila mafanikio. Kwenye Maktaba tetea, naona matokeo hayo y kidato cha sita hayakuwekwa.
Kwa mtu mwenye nayo au ajuae namna ya kuyapata, naomba anisaidie tafadhari.
Asanteni.
Kama kichwa kinavyojieleza, mimi ni kati ya wanafunzi walio hitimu kidato cha sita 2008 shule ya sekondary Makongo.
Nimekua nikiyatafuta matokeo hayabkwa muda mrefu kwenye mitandao bila mafanikio. Kwenye Maktaba tetea, naona matokeo hayo y kidato cha sita hayakuwekwa.
Kwa mtu mwenye nayo au ajuae namna ya kuyapata, naomba anisaidie tafadhari.
Asanteni.