grand gazelle
Senior Member
- Jun 25, 2017
- 118
- 178
Habari ndugu zangu
Kama kichwa kinavyosema, nina rafiki yangu anasumbuliwa sana na nyonga takriban miezi 6 sasa. Ameshafanya vipimo vyote vya kidactari lakini tatizo halionekani, dawa nahisi ameshatumia zote coz ni nyingi mno lakini bado nyonga inaendelea kumsumbua.
Naomba kama unajua njia ya kutoka kwenye hili tatizo plz utusaidie kwa mawazo. Tutashukuru mno. Tunatanguliza shukrani
Kama kichwa kinavyosema, nina rafiki yangu anasumbuliwa sana na nyonga takriban miezi 6 sasa. Ameshafanya vipimo vyote vya kidactari lakini tatizo halionekani, dawa nahisi ameshatumia zote coz ni nyingi mno lakini bado nyonga inaendelea kumsumbua.
Naomba kama unajua njia ya kutoka kwenye hili tatizo plz utusaidie kwa mawazo. Tutashukuru mno. Tunatanguliza shukrani