cjilo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 884
- 444
NImenunua kacm kangu kama week imepita, nika-instal pia whatsapp maana ndo ilinifanya niipende hii cm
mwanzoni ilikuwa nikihitaji kuingia internet inaniuliza kama nataka kutumia sim 1 au 2 mara nyingi huwa natumia sim 2,
tatizo limeanza siku ya xmas, ghafla nikaona whatsapp ina-load tu kwa mda mrefu bila kufungua kutuma wala kupokea msg, hilo tatizo ni mpaka leo, hata kwenye browser pia haitaki internet ina-load kwa mda mrefu sana na mwishowe pia inakataa na haiulizi tena kama nataka kutumia sim 1 au 2.inaniambia ni-check internet connection settings.
Nilichojaribu kufanya ni kuizima na kuiwasha cm, kubadilisha line lakini wapi mpaka mda huu cjafanikiwa kabisa, natumia line ya airtel na tigo, ila kwenye net napenda airtel zaidi.
naomba mwenye ufumbuzi anisaidie tafadhali.
mwanzoni ilikuwa nikihitaji kuingia internet inaniuliza kama nataka kutumia sim 1 au 2 mara nyingi huwa natumia sim 2,
tatizo limeanza siku ya xmas, ghafla nikaona whatsapp ina-load tu kwa mda mrefu bila kufungua kutuma wala kupokea msg, hilo tatizo ni mpaka leo, hata kwenye browser pia haitaki internet ina-load kwa mda mrefu sana na mwishowe pia inakataa na haiulizi tena kama nataka kutumia sim 1 au 2.inaniambia ni-check internet connection settings.
Nilichojaribu kufanya ni kuizima na kuiwasha cm, kubadilisha line lakini wapi mpaka mda huu cjafanikiwa kabisa, natumia line ya airtel na tigo, ila kwenye net napenda airtel zaidi.
naomba mwenye ufumbuzi anisaidie tafadhali.