Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,796
- 1,849
Nina kijana wangu anataka kujiunga na kozi ya famasia ngazi ya cheti. Ana kemia - D, Bailojia - C na fizikia- F. Je anaweza kujiunga na kozi hiyo ngazi ya cheti? Kama likitupiwa karatasi toka wizara ya elimu kuhusu minimum qualification za kujiunga na kozi hiyo itapendeza sana.
Natanguliza shukurani zanngu.
Natanguliza shukurani zanngu.