scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 454
- 314
Nilituma maombi ya ajira za mda (sensa) kupitia mtandaoni baada ya kujaza fomu no 1 vilivyo na kutuma lakini bado naambiwa au kuandikiwa hapo juu kuwa hatua ya maombi ilipo fikia inasubiri fomu no 1 iliyosainiwa na wakati hata kuiupload tayari na inaonekana katika viambatanisho
kama picha inavyjieleza hapa ni kweli nishamaliza au ndo maombi yanabaki incomplete.
Naombeni msaada katika hili wanajamvi
kama picha inavyjieleza hapa ni kweli nishamaliza au ndo maombi yanabaki incomplete.
Naombeni msaada katika hili wanajamvi