Msaada: Majibu ya vipimo vya UTI kufotautiana ndani ya lisaa limoja nini tatizo

Mkuu hapo umechanganywa umepewa majibu sio yako
Mimi ni mtaalam wa afya
Check hayo majibu vzr.....
Mashine iliyotumika inaitwa urine analyzer kamwa haitoi majibu ya uongo never ever...ukimanisha kituo cha pili ndo wametumia hiyo?
 
Mkuu nimeeleza wiki mbili zilizopita nilikuwa na UTI na nilipima katika hicho kituo baada ya kumaliza dawa ikabidi nirudi kupima kuona kama nimepona
Mkuu mbona nimeuliza kwa lugha rahisi kabisa?

Nimeuliza kabla hujaenda hospitali ulikuwa unajisikiaje? Kabla hujapimwa mkojo ukaambiwa una UTI ulikuwa unajisikiaje.


Je vitu vingine wamepima? Damu, malaria n.k.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mkuu mbona nimeuliza kwa lugha rahisi kabisa?

Nimeuliza kabla hujaenda hospitali ulikuwa unajisikiaje? Kabla hujapimwa mkojo ukaambiwa una UTI ulikuwa unajisikiaje...
Kwa mara ya kwanza nilikuwa najisikia ovyo ovyo homa na joints nikamuona daktar akanishauri nipime malaria na Uti ndo nikaonekana nina uti na kuanza dozi...mara ya pili mwili ulikuwa uko ok kabisa ila nikataka kujua kama nimepona
 
UTI kwa mwanaume is very layer / Mara chache sana

Sijui nyie mnaipataje? Au hiyo kuzibua mitaro.

Hebu Google hiyo UTI inavyopatikana then ujihoji mwenyewe kuhusu kuumwa.

Pili unapima mkojo jioni, possibility ya kuona ugonjwa ni ndogo sana, lkn hampendi kuja serikalini kwasababu mkienda private kila mtaalam anajiita specialist.

Okay haya Mambo yatamfikia msajili wa maabara, nafikiri atayafanyia kazi maana kilio kimekuwa kikubwa sana
 
  • Thanks
Reactions: Lee
UTI kwa mwanaume is very layer / Mara chache sana

Sijui nyie mnaipataje? Au hiyo kuzibua mitaro...
Yes ni mara chache sana ata mm sikumbuk lini ..ila yawezekana mistake ilifanyika tokea siku ya kwanza na kumuamini
 
Kweli kabisa mimi wife alikuwa anaenda kwenye ivyo vituo pesa inaenda bira matumaini ya kupona alipo enda bugando akambiwa aumwi chochote anywe maji mengi akapona
Zamani ilikuwa Malaria, baadaye ikawa Typhoid na kwa sasa ni UTI. Yaani karibu kila mtu akienda kupima ataambiwa anazo, hata kama haumwi chochote. Hivi vituo binafsi vingi ni wizi mtupu.

Kwa uzoefu wangu mdogo sana, kwenye suala la vipimo vya maabara sio sahihi kwenda kupima kwenye hospitali binafsi, ni bora kwenda kwenye hospitali za serikali japokuwa huduma ni mbovu, majibu yanachelewa na uhuni ni mwingi lakini ni vigumu kwao kukupa majibu ya uongo kuwa unaumwa kitu fulani.
 
Back
Top Bottom