Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,701
Hello wapendwa,
Najua kila mwanamke/msichana ana aina ya lotion yake anayopenda, na kati ya hizo kuna ambazo zinazouliziwa na kununuliwa sana kutokana ubora wake, bei yake, matokeo yake, n.k.
Ila zisiwe zile zilizopigwa marufuku na TFDA. Siyo vibaya mkiweka kwa makundi kama ni ya ngozi ya kawaida, ngozi kavu na ngozi ya mafuta.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua kila mwanamke/msichana ana aina ya lotion yake anayopenda, na kati ya hizo kuna ambazo zinazouliziwa na kununuliwa sana kutokana ubora wake, bei yake, matokeo yake, n.k.
Ila zisiwe zile zilizopigwa marufuku na TFDA. Siyo vibaya mkiweka kwa makundi kama ni ya ngozi ya kawaida, ngozi kavu na ngozi ya mafuta.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app