Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,188
- 27,043
NakusemeahaUuuwiii utaniambia vzr hizo zote ulilala mwenyewe au la....tena twende ukanijibie magoroto
NakusemeahaUuuwiii utaniambia vzr hizo zote ulilala mwenyewe au la....tena twende ukanijibie magoroto
dah;Naula.....Naura spring
Wakurya bana
Magoroto is a paradise yaan!!Uuuwiii utaniambia vzr hizo zote ulilala mwenyewe au la....tena twende ukanijibie magoroto🤨🤨
Shukia kibanda cha mkaa kituo kabla hujafika apo mbezi stend ya karanga utawakuta boda boda waambie wa kupeleke comfort lodge.
2. Wilvina hii ipo opposite na st Joseph.
3.pia unaweza enda kibamba kwa mangi. Chukua bodaboda akupeleke ungwasi motel ni pazuri sana pia hata kwa mguu unaeza tembea.
4. Kuna nyingine ipo apo Luis inaitwa kingachi bei 25_35.
5.uphill forest- temboni
Temboni inn- temboni
Afu kuna nyingine ipo apo mbezi mwisho(makondeni) barabara ya zamani kama unaenda kwa yusuph jina limenitoka ukiuliza bodaboda, tax,driver ,bajaji watakufikisha
Gray house_Mbezi msakuzi
Cc Mother Confessor naula springs tunaenda lini au wataka twende asilia resort ngoro ngoro
huna ubavu huodah;
Nilikuwa nampango wa kukuchukua,
Ila nimeghairi; tutakuacha nyumbani ili utulindie kasiri letu.
Utatupeleka hapo ee na Mother ConfessorNaula spring=Naura spring
Mother Confessor wangu ameingiaje hapa. io offer iombe peke yako aiseee.Utatupeleka hapo ee na Mother Confessor
aiseee; hahahahahuna ubavu huo
Sababu bila yeye sipelekwiMother Confessor wangu ameingiaje hapa. io offer iombe peke yako aiseee.
Nakupenda Jamii Forum!Naula.....Naura spring
Wakurya bana
Woiii😂😋Utatupeleka hapo ee na Mother Confessor
nini hutaki kaka ako atupeleke?Woiii
Kwa nani??Nakusemeaha
Nataka thanaa"nini hutaki kaka ako atupeleke?
Hivi ulinijibu??etiiMother Confessor wangu ameingiaje hapa. io offer iombe peke yako aiseee.
Baba mchungajiKwa nani??
😂😂😂hajui hii kitu hata kidogoBaba mchungaji
me ndo ntamwelezea sasa..kwamba mkeo yupo jf anachati na kina Sanchez magoli tena wamepanga kwenda magorotohajui hii kitu hata kidogo
💃💃Magoroto eeh; nimeangalia gharama zake no reasonable;; pia pana fanana na we we
Usijali tuta kuwepo hapo holiday ya december
Ndio mkeHivi ulinijibu??etii