Msaada: Limited Company, TIN na Leseni

Simplicity.

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
2,636
1,656
Habari zenu wakuu,

Nawatakia mafanikio, amani na afya njema katika Mwaka Mpya unaokuja wa 2014.

Mwaka 2012 tuliregister Limited Company by Guarantee without Share Capital. Tukaenda TRA tukapewa TIN ya kampuni na za kwetu. Tulienda pia manispaa husika (ipo Dar) Tukapewa business licence. Kuna kodi ambayo tulikadria TRA kwamba tungekuwa tunalipa.

Hadi sasa hatujaweza kufanya biashara yoyote inayoingiza hata shillingi moja. Lakini kuna services ambazo tumeweza kuzitoa kwenye community freely. Hela iliyotumika kutoa services hizo ni yetu binafsi. Namna ambazo kampuni za namna hii zinaweza kuoperate ni for profit or not for profit, reference: http://www.socialenterprise.ie/gfx/...imited by Guarantee without Share Capital.pdf.

Kampuni yetu is not for profit. Tulikadria kodi kwa sababu tulidhani tungefanya business inayotuingizia faida, lakini badala yake tumechukua uelekeo wa kuwa non profit kwa sasa.

Sasa hatujalipa kodi yoyote TRA kwa sababu hakuna biashara yoyote tunayofanya inayoingiza faida. Kwa upande mwingine tumefanya kosa kutokuwaandikia TRA kuomba tax exemption tangu awali, mpaka pale tutakapobadilisha uelekeo wa business.

Naomba msaada wenu namna ya kuwashawishi TRA watusamehe kodi ambayo tulitakiwa kulipa kwa muda uliopita, pia kuomba exemption kwa kutokulipa kodi hadi hapo tutakapobadilisha nature ya biashara.

Je, leseni za biashara zinakuwa valid kwa kipindi gani? Maana leseni tuliyopewa na manispaa haionyeshi expiry date!

Kila la heri kuelekea 2014.

LifeHacker
 
Leseni za biashara hazina ukomo hii ni kutokana na marekebisho ya sheria ya mwaka 2007,

Kuhusu kuwashawishi TRA wawapunguzie kodi, kwanza andikeni barua kwenda tra kueleza kusudio la kufanya hivyo,

TRA ni rafiki wa mlipa kodi usiogope wala usitumie njia za mkato
 
Leseni za biashara hazina ukomo hii ni kutokana na marekebisho ya sheria ya mwaka 2007,

Kuhusu kuwashawishi TRA wawapunguzie kodi, kwanza andikeni barua kwenda tra kueleza kusudio la kufanya hivyo,

TRA ni rafiki wa mlipa kodi usiogope wala usitumie njia za mkato

Leseni silizokuwa haina ukomo za 2007 wamezifuta mwaka huu wa Fedha na zilikua bure.

Now nenda manispa husika kwa ajili ya Leseni mpya, walitoa grace period ya miezi mitatu

On TRA ypu just to formal na TRA yetu haitaji kabisa watu kama wewe.

Andika barua, with two copies wapeleke, copy moja waache copy ya pili wakugonge mhuri wa received on date...

Weka hiyo copy siku watakayo tokea kukuuliza

Sheria inataka wakuulize katika kipindi cha miaka mitatatu wasipotokea hawana chao
 
Leseni silizokuwa haina ukomo za 2007 wamezifuta mwaka huu wa Fedha na zilikua bure.

Now nenda manispa husika kwa ajili ya Leseni mpya, walitoa grace period ya miezi mitatu

On TRA ypu just to formal na TRA yetu haitaji kabisa watu kama wewe.

Andika barua, with two copies wapeleke, copy moja waache copy ya pili wakugonge mhuri wa received on date...

Weka hiyo copy siku watakayo tokea kukuuliza

Sheria inataka wakuulize katika kipindi cha miaka mitatatu wasipotokea hawana chao

Wamezifuta mwezi gani mkuu? Kwa hiyo kama grace period imepita what are the possibilities?
 
Kwann msikomae na limited company, meaning profit company, mm nadhan still you can work, anyway co. Mlisajili ijihusishe na nini kifaida? I suggest work, reduce unemployment, pay tax for development! Limited co. Ni nzuri zaidi, la sajilini ngo!!
 
Back
Top Bottom