Msaada: Lenovo Tablet 2 ukiwasha inajizima baada ya sekunde chache

achengula

JF-Expert Member
Jul 30, 2009
369
62
Ndugu wanajamiiforum,
Tablet nilikuwa nimeiacha kwenye umeme kwa muda wa saa moja hivi huku ikiwa na muvi inaendela kucheza wakati ina download windows 10 kwa ajili ya ku upgrade kutoka windows 8.1. Nili opt idownload kwanza ikimaliza ndo niinstall. Kilichonishangaza nitakuta imejizima na umeme haukukatiuka. Nilipojaribu kuiwasha inawaka niki sign in inafungua hadi kuonyesha desktop kisha inaanza kushut down. Nikiiwasha bila ku sign in nikaiacha kwa muda inakaa kama secunde 30 hadi dakika moja inajizima. Wakati mwingine niki sign in inazima kabla ya kuonyesha desktop. Inaonekana kuna muda maalum unaotumika tangu kuwasha hadi kujizima. Nimejaribu kutafuta namna ya kuingia ili niweze ku repair automatic nimeshindwa kupaona. Hata kuingia sehemu ya ku re-set to factory setting nimeshindwa naingiaje japo kuna wakati kipindi cha nyuma niliwahi kuingia sasa sikumbuki. Naombeni msaada wenu wanandugu.
 
click start then click setting then click update and security halafu chagua recovery then utaiona reset
 
click start then click setting then click update and security halafu chagua recovery then utaiona reset

Asante Chief, Tatizo ni kwamba ikifika kuonyesha desktop inajizima haikupi muda wa kufanya chochote. Option ni ku rebook kwenda recovery mode ambayo ndo sijui naipate. Nimejaribu kupress power button na Volume up haileti hizo option za recovery modes
 
Asante Chief, Tatizo ni kwamba ikifika kuonyesha desktop inajizima haikupi muda wa kufanya chochote. Option ni ku rebook kwenda recovery mode ambayo ndo sijui naipate. Nimejaribu kupress power button na Volume up haileti hizo option za recovery modes


hii hapa njia yake, zima tablet yako then washa halafu bonyeza bonyeza mara nyingi volume down bila kuacha hadi uone neno please wait

Accessing Microsoft Windows 8 System Recovery during Startup with ThinkPad Tablet 2 - Lenovo Support (FR)
 
Nakushukuru sana Chief, njia hii ilitakiwa ifanye kazi. Sasa kinachotokea ikifika eneo la please wait. Inakaa sekunde chache inarudi kuwaka kawaida kisha inazima tena ndani ya muda mfupi. Hivyo suluhu bado na msaada unahitajika
 
kama umekwama kabisa piga windows chini kwa kutumia external cd drive au usb flash.

hope unajua kueka windows kwenye flash na una waya wa micro usb kuja usb ya kawaida. step za kueka windows ni zile zile na kuchagua boot option just tap homescreen.

eka win 10 kabisa
 
Hatimaye imepona bila kuiformat, nimefanya trial nyingi baada ya kusoma kwenye mtandao nikajaribu kupress power button na volume up and down sequencially nikaona kama hakuna jipya nikaiacha. Baadaye naona imeandika inafanya diagnostics, ikawa inafnya ndani kwa ndani ilipomaliza ikawa display sehemu ya kulog in, nilipolog in ikawa imepona. Nashukuru tena kwa msaada wako Chief.
 
Niliiupdate to windows 8.1 na ndo niliyoikuta windows ten ilikuwa haijamaliza kudownload nadhani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom