Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Natumia laptop aina ya lenovo E51 series core i5 ambayo ni mpya kwani tokea niinunue ina mwaka mmoja tu na inatumia window 10.Mimi siyo IT ila huwa napenda kupokea updates zote pamoja na upgrades zote za window 10 kwa hiyo nimeiset laptop yangu kwenye mfumo huo wa kupokea updates hizo. Jana jioni nilipata alerts kuwa build 17074 ipo hewani na laptop yangu ikaanza kudownlod na kufanya installations kama kawaida. Ilikuwa inafanya installation kama inazingua hivi kwani ilikuwa ikifika asilimia mia inaanza tena basi mimi nikaiacha inafanya hivyo nikaenda zangu kulala.
Sasa nimeamka asubuhi nikakuta imemaliza fresh na inahitaji reboot/restart ili iweze kumaliza mambo yake hayo basi nikairuhusu kufanya restarting ila ikawa inarestart mara nyingi na ikawa inanialert kuwa itafanya several restart ili iweze kumaliza.Sasa kwa sababu nilikuwa nawahi ofisini nikaifungia ndani ikiwa inafanya hizo several restart. Niliporudi jioni nikakuta imeshamaliza na iko poa kwa ajili ya matumizi. Laptop yangu nimeifunga kwa password kwa hiyo nilipofika kama kawaida nikaingiza password ili niweze kuitumia na kuona kuna lipi jipya baada ya kuinstall build 17074. Sasa kizaazaa kimeanza baada ya kuweka password,badala ya kufunguka imebaki blank huku ikiwa na mwanga mdogo sana, kwa hiyo nashindwa kuingia ndani ya laptop!!
Nimeirestart several times kwa kuzima na kuwasha kwa kutumia switch yake ya kuzima na kuwasha ila wapi!!
Wakuu tatizo linaweza kuwa nini?Nifanyeje ili niweze kuendelea kutumia laptop yangu?
Asanteni na nawakilisha!!
Sasa nimeamka asubuhi nikakuta imemaliza fresh na inahitaji reboot/restart ili iweze kumaliza mambo yake hayo basi nikairuhusu kufanya restarting ila ikawa inarestart mara nyingi na ikawa inanialert kuwa itafanya several restart ili iweze kumaliza.Sasa kwa sababu nilikuwa nawahi ofisini nikaifungia ndani ikiwa inafanya hizo several restart. Niliporudi jioni nikakuta imeshamaliza na iko poa kwa ajili ya matumizi. Laptop yangu nimeifunga kwa password kwa hiyo nilipofika kama kawaida nikaingiza password ili niweze kuitumia na kuona kuna lipi jipya baada ya kuinstall build 17074. Sasa kizaazaa kimeanza baada ya kuweka password,badala ya kufunguka imebaki blank huku ikiwa na mwanga mdogo sana, kwa hiyo nashindwa kuingia ndani ya laptop!!
Nimeirestart several times kwa kuzima na kuwasha kwa kutumia switch yake ya kuzima na kuwasha ila wapi!!
Wakuu tatizo linaweza kuwa nini?Nifanyeje ili niweze kuendelea kutumia laptop yangu?
Asanteni na nawakilisha!!