Mkwala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,158
- 1,227
Wasalaam,
Nimepata changamoto kuna laptop imekuwa ikitumika, lakini changamoto nimeikuta ni kuwa nikijaribu kuprint document iliyo kwenye PDF &Excel inashindwa kusoma printer zilizopo.
Nimejaribu kuprint kwa Word document yenyewe haina tatizo. Je, kuna shida ipi inayopelekea PDF na Excel file zigome.
Nimejaribu kuwaeleza watu wa IT waliopo jirani naona hawana majibu zaidi ya kusema subiri tutafanyia kazi. Mimi nimejaribu mbinu kadhaa naona tatizo limeendelea.
Naomba msaada wenu wataalam magwiji.
Nimepata changamoto kuna laptop imekuwa ikitumika, lakini changamoto nimeikuta ni kuwa nikijaribu kuprint document iliyo kwenye PDF &Excel inashindwa kusoma printer zilizopo.
Nimejaribu kuprint kwa Word document yenyewe haina tatizo. Je, kuna shida ipi inayopelekea PDF na Excel file zigome.
Nimejaribu kuwaeleza watu wa IT waliopo jirani naona hawana majibu zaidi ya kusema subiri tutafanyia kazi. Mimi nimejaribu mbinu kadhaa naona tatizo limeendelea.
Naomba msaada wenu wataalam magwiji.