tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,238
- 7,109
Habari ya majukumu wadau.
Kama ambavyo title inajieleza, Laptop yangu imegoma kuwaka na taa ya charge ina blink throughout.
Nimejaribu kutoa battery na kuunganisha charge moja kwa moja lakini bado ile taa inablink. Pia nikirudisha battery ile taa inaendelea kublink throughout hadi niiondoe.
Naomba msaada wa mwenye kujua namna ya kutatua hiyo changamoto kabla sijaenda kwa mafundi anisaidie.
Natanguliza shukurani zangu.
Kama ambavyo title inajieleza, Laptop yangu imegoma kuwaka na taa ya charge ina blink throughout.
Nimejaribu kutoa battery na kuunganisha charge moja kwa moja lakini bado ile taa inablink. Pia nikirudisha battery ile taa inaendelea kublink throughout hadi niiondoe.
Naomba msaada wa mwenye kujua namna ya kutatua hiyo changamoto kabla sijaenda kwa mafundi anisaidie.
Natanguliza shukurani zangu.