Jamani wana JF,naombeni ushauri wenu,nilikuwa nina mpenzi wangu ambaye nilikuwa nampenda sana 2mekaa more than 3 years kwenye relation ye2 ikatokea yeye akahamia dsm kikazi baada ya hapo ndo matatizo yalipoanza akaanza kuniletea visa na dharau mara ukipiga cmu hapokei,nikafanya uchunguzi wangu nikagundua alipohamia dar kumbe alipata jamaa huko kazini basi baada ya muda akaniacha tena kwa dharau sana niliumia sana sana 2 imepita kama miezi 6 now amerudi ananiomba msamaha anadai anajutia sana yote aliyotenda.Kusema ule ukweli still i love her ila naogopa sana kumpa nafasi nyingine nikikumbuka aliyonifanyia,so am still DILEMA.Jamani naombeeni msaada wa mawazo.