Msaada kwenye tuta

Sokomoko

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,915
127
WanaJF napenda ufafanuzi kwa mwenye uweledi kuhusu Mfumo wa Wizara zetu. Wizara za zisizo za Muungano kule Zanzibar zipo chini ya Serikali ya Zanzibar zisizo za Muungano huku Bara zinasimamiwa na Serikali gani?
 
Mkuu wewe na muungano naona umeamua.

This is what people are talking about, kunaonekana kama wazanzibar wamemezwa na tanganyika, hii inatokana na muundo kuwa mbaya kiasi cha kuacha maswali ambayo hayana majibu kama hilo.

Perhaps serikali moja ingekuwa suruhisho la matatizo yote haya na zanzibar hiwe codd sawasawa na sehemu nyingine za tanzania, kwani idadi ya watu wake ni ndogo kuliko hata mkoa wa mwanza.

Hii itapunguza matatizo ya kunyonywa na kunyonya kama tunavyoyaona, watu wa bara tunakata tujitenge kwa kuwa muungano hauna faida kwetu wakati wazanzibar wanataka wajitenge kwa kuwa muungano unawanyonya, nani ananyonywa hapa?

Fikirieni hili swala la serikali moja kama linaweza kuwa solution nzuri muungano wetu kwani kutengana sio solution nzuri kwa kuwa naiona pemba ikiwa ni nchi nyingine zanzibar ikiwa nje ya muungano au pemba kuwa kisiwa kinachotawaliwa kimabavu na unguja.

Hii ni kweli kabisa kwani nje ya muungano wapemba watauliza hivi unguja na pemba ziliungana lini?

Unguja mtajibu nini?
 
Hivi Mtanganyika anafaidika nini na muungano? mbona naona kama ni hasara juu ya hasara. Hivi wanavijiji wa bara wana umeme? wana maji ya bomba? Bado fedha nyingi zinahamishwa kwenda kuikimu serikali ya zanzibar; ambao wananchi wake hawaappreciate sacrifice ya hawa watanganyika wasio na umeme wala maji ya bomba hadi leo, ilhali kodi wanazotozwa kwenye ng'ombe zinaenda kuendesha serikali ingine!
 
Hivi Mtanganyika anafaidika nini na muungano? mbona naona kama ni hasara juu ya hasara. Hivi wanavijiji wa bara wana umeme? wana maji ya bomba? Bado fedha nyingi zinahamishwa kwenda kuikimu serikali ya zanzibar; ambao wananchi wake hawaappreciate sacrifice ya hawa watanganyika wasio na umeme wala maji ya bomba hadi leo, ilhali kodi wanazotozwa kwenye ng'ombe zinaenda kuendesha serikali ingine!

Mama I can see how busy you are! Sikutegemea hilo jibu kabisa. Anyway ukweli ni kuwa uliyozungumza ni maoni yako ninayaheshimu mie ni mtanganyika na nina intrest na Tanganyika nataka kufahamu Wizara zisizo za Muungano Bara zinasimamiwa na Serikali gani?
 
Mama I can see how busy you are! Sikutegemea hilo jibu kabisa. Anyway ukweli ni kuwa uliyozungumza ni maoni yako ninayaheshimu mie ni mtanganyika na nina intrest na Tanganyika nataka kufahamu Wizara zisizo za Muungano Bara zinasimamiwa na Serikali gani?

Nahisi huku Tanganyika wizara hakuna isiyosimamiwa na serikali ya Muungano. Naomba mnitajie kama ipo.

Nadhani iliyobaki ni kuua wizara zote za Zanzibar na kuacha zile za Muungano tu, ikishindikana basi kila nchi iwe na wizara zake na wizara inayohusika na masuala ya muungano ndio ibaki chini ya mwamvuli wa Muungano...worse come worse, huu muungano na uvunjwe. Ni mzigo kwa Watanganyika.
 
Sometimes hapa JF maneno mengi. Mtu kauliza swali. Kama una jibu toa jibu halafu weka maoni yako. Kama huna jibu, sema sina jibu halafu toa maoni.

Jibu ni muungano wetu ni muungano wa pekee na wa aina yake. Unaserikali 2. Ya Zanzibar kwa mambo yasiyo ya muungano na serikali ya Tanzania inayoshughulikia mambo yote ya muungano ambayo ndiyo ya Tanzania, Tanganyika ilikufa Aprill 26/1964.
 
Back
Top Bottom