Hivi Mtanganyika anafaidika nini na muungano? mbona naona kama ni hasara juu ya hasara. Hivi wanavijiji wa bara wana umeme? wana maji ya bomba? Bado fedha nyingi zinahamishwa kwenda kuikimu serikali ya zanzibar; ambao wananchi wake hawaappreciate sacrifice ya hawa watanganyika wasio na umeme wala maji ya bomba hadi leo, ilhali kodi wanazotozwa kwenye ng'ombe zinaenda kuendesha serikali ingine!
Mama I can see how busy you are! Sikutegemea hilo jibu kabisa. Anyway ukweli ni kuwa uliyozungumza ni maoni yako ninayaheshimu mie ni mtanganyika na nina intrest na Tanganyika nataka kufahamu Wizara zisizo za Muungano Bara zinasimamiwa na Serikali gani?