kwaiyo niwe na uhakika au mana cjajua kwa mtu ambae hapati kabisa akaunti inakuaje ?Mkuu batch ya kwanza haupo kuna taarifa hapo wamekwambia uendelee kuwa unaangalia kwa batch zinazokuja.
Hizo batch(awamu) wakati mwingine zinafika hata 5
keep faith.
kwaiyo niwe na uhakika au mana cjajua kwa mtu ambae hapati kabisa akaunti inakuaje ?
Si usubiri kuna awamu zingine kama 10akaunti yangu heslb inaandika madudu haya wazoefu naombeni mnijuze kama kuna matarajio au hamna mana nimechanganyikiwa kabisaView attachment 1238760