navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 146
- 155
Habari za kazi wanajamii? Mm ni muhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam katika kozi ya bachelor of science with education majoring in PHYSICS and CHEMISTRY.Niko mbele yenu kuomba kama kuna shule yeyote ambayo inauhitaji wa mwalim mzur wa hayo masomo Niko teyari kufundisha mahari popote,nitafurahi kama nitafanikisha.Namba zang
ASANTENI SANA!
Sent using Jamii Forums mobile app
ASANTENI SANA!
Sent using Jamii Forums mobile app