Ooohooo😂nimeiona tokea asubuhi wanasema kwamba TINGA TINGA LIMETINGA MJINI, na kwa hali ya kawaida Tinga tinga inabidi likae mashambani na barab barani maana mjini litaharibu miundombinu
Pamoja na yote ameshangaa kuwepo wawekezaji wawili tu toka Namibia lakini hakusema kuna wawekezaji wangapi Namibia toka Tanzania!Kama kichwa cha habari kinavyosema wakuu. Msaada kwenye tuta pls. Lugha imenichanganya.
Moderators sina nia mbayaView attachment 1111398
Hiyo si lugha tu ya mtaani wameitumia. Wangeweza kusema MAGUFULI IN TOWN. Tatizo lenu mnatafsiri vibays kwa kukosa uelewa wenu. Magufuli anajulikana duniani kote kwa nickname ya hilo jina sijui mnashangaa niniKama kichwa cha habari kinavyosema wakuu. Msaada kwenye tuta pls. Lugha imenichanganya.
Moderators sina nia mbayaView attachment 1111398
Labda jamaa alitaka waandike TINGATINGA ..............!!Hiyo si lugha tu ya mtaani wameitumia. Wangeweza kusema MAGUFULI IN TOWN. Tatizo lenu mnatafsiri vibays kwa kukosa uelewa wenu. Magufuli anajulikana duniani kote kwa nickname ya hilo jina sijui mnashangaa nini
Jifunze lugha ya kiingereza utaona hiyo heading haina maana yoyote mbaya. Nadhani mtoa mada kishajiona mdhaifu kama kweli anazijua slangWale walisema alishangiliwa sana South Africa hili mnalitafakuri vipi?
Ni sifa au dharau au kebehi?