Msaada kwenye tuta: Ushauri kwa mgeni anaekuja TZ.

kisu

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
1,004
381
Hamjambo wanaJF. Mimi nategemea kuja TZ wiki ijao, kwa likizo baada ya kuondoka TZ kwa miaka mingi. Ushauri ninaotaka ni kuhusu matumizi ya mawasiliano. Je naweza nunua Sim card JNIA (Airport) na ni bei gani na ipi kampuni bora (voda/airtell/tigo etc)kwa huduma. Pili, kuhusu kuchenji dollar afadhali mjini kuliko airport au nikachenjie Mwanza nakofikia? Tatu, kuhusu vibaka (Pickpockets) ni sehemu gani maarufu (Dar/MZA) kwa haya mambo na ni zipi dalili zao? Asanteni kwa msaada wenu na ushauri wowote mzuri unakaribishwa.
 
Type ya simcard inategemea unaenda wapi, nahisi kule kwenu gamboshi hakuna network ya airtel but miji yote mikubwa na midogo ina network ya vodacom, kubadili forex airport ni expensive, vibaka mpaka ujipeleke mwenyewe.
 
Hamjambo wanaJF. Mimi nategemea kuja TZ wiki ijao, kwa likizo baada ya kuondoka TZ kwa miaka mingi. Ushauri ninaotaka ni kuhusu matumizi ya mawasiliano. Je naweza nunua Sim card JNIA (Airport) na ni bei gani na ipi kampuni bora (voda/airtell/tigo etc)kwa huduma. Pili, kuhusu kuchenji dollar afadhali mjini kuliko airport au nikachenjie Mwanza nakofikia? Tatu, kuhusu vibaka (Pickpockets) ni sehemu gani maarufu (Dar/MZA) kwa haya mambo na ni zipi dalili zao? Asanteni kwa msaada wenu na ushauri wowote mzuri unakaribishwa.

Nunua line zote voda/airtel/tigo ili upatikane popote wakati wowote,kuhusu vibaka wapo maeneo yote especially maeneo yenye watu wengi kama vile k/koo,manzese,mbagala etc
 
Back
Top Bottom