Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Wakuu,
Jana nimesikiliza mdahalo kwa makini na lazima niseme Mhe. HR alitumia nafasi yake vizuri hasa kumshirikisha Dr. Slaa kutupia makombora ya kummaliza Mhe. Mbowe. Mhe. Mbowe alijitahidi sana kujenga hoja japo hakuwa na ujuzi wa kutosha kwa kuwa hakuwepo bunge lilopita na Dr. Slaa hakuwa na nafasi kumsaidia. Ushabiki na uongozi USIOFAA wa dada yetu Rose uliharibu sana mdahalo. Next time apewe mtu mwingine ili tuangalie ladha inakuwaje kwa afadhili swali na jibu moja linaloeweka kuliko maswali na majibu 30 yalioacha maswali 100 na confusions. Nina hili la kuulizwa jukwaa.
Serikali ya mseto au umoja wa kitaifa maana yake ni nini? i am confused kabisa.
Inawezekana kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa kati ya CCM ya leo na CDM/CUF? Yaani Dr. Slaa arishikiane na EL au RA ashirikiane na HR?
Asanteni sana
Jana nimesikiliza mdahalo kwa makini na lazima niseme Mhe. HR alitumia nafasi yake vizuri hasa kumshirikisha Dr. Slaa kutupia makombora ya kummaliza Mhe. Mbowe. Mhe. Mbowe alijitahidi sana kujenga hoja japo hakuwa na ujuzi wa kutosha kwa kuwa hakuwepo bunge lilopita na Dr. Slaa hakuwa na nafasi kumsaidia. Ushabiki na uongozi USIOFAA wa dada yetu Rose uliharibu sana mdahalo. Next time apewe mtu mwingine ili tuangalie ladha inakuwaje kwa afadhili swali na jibu moja linaloeweka kuliko maswali na majibu 30 yalioacha maswali 100 na confusions. Nina hili la kuulizwa jukwaa.
Serikali ya mseto au umoja wa kitaifa maana yake ni nini? i am confused kabisa.
Inawezekana kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa kati ya CCM ya leo na CDM/CUF? Yaani Dr. Slaa arishikiane na EL au RA ashirikiane na HR?
Asanteni sana