Wanajf,
Naomba kujua gharama za kuvuta umeme ndani ya Nyumba. Naomba mchanganuo wote yani Phases zote[zaidi three phase]. Na inachukua muda gani mpaka kupata huo umeme.
Pili, ningelipenda kuweka underground 'harmor cable', je zinapatikana hapo bongo Darisalama?
Nimejaribu website ya hawa jamaa [TANESCO] ni kama 'jumba la makumbusho'.
Natanguliza Shukrani
Naomba kujua gharama za kuvuta umeme ndani ya Nyumba. Naomba mchanganuo wote yani Phases zote[zaidi three phase]. Na inachukua muda gani mpaka kupata huo umeme.
Pili, ningelipenda kuweka underground 'harmor cable', je zinapatikana hapo bongo Darisalama?
Nimejaribu website ya hawa jamaa [TANESCO] ni kama 'jumba la makumbusho'.
Natanguliza Shukrani