Msaada kwenye ili tatizo la moyo

Eboo

Member
Aug 22, 2019
43
55
Habari ndugu zangu, napenda niende moja kwa moja kwenye tatizo linalo nisibu

Nimekuwa nikipata tatizo la kubanwa kwa moyo na kuvuta pumzi kwa shida, hasa kama ikitokea nikiwa nimelala itanibidi niamke nikae kidogo nivute pumzi kwa shida ivyoivyo kidogo napata unafuu kuliko kuendelea kulala

Hali hii inanitokea mara chache sana, kama baada ya miezi kadhaa ndio hii hali inaweza kujitokeza

Umri miaka:23
Jinsia: mwanaume
Sio mnene, mwili wa kawaida, sina magonjwa ya chronic, sivuti sigara wala sinywi pombe au kilevi chochote kile

Asante.... Nawasilisha
 
Habari ndugu zangu, napenda niende moja kwa moja kwenye tatizo linalo nisibu

Nimekuwa nikipata tatizo la kubanwa kwa moyo na kuvuta pumzi kwa shida, hasa kama ikitokea nikiwa nimelala itanibidi niamke nikae kidogo nivute pumzi kwa shida ivyoivyo kidogo napata unafuu kuliko kuendelea kulala

Hali hii inanitokea mara chache sana, kama baada ya miezi kadhaa ndio hii hali inaweza kujitokeza

Umri miaka:23
Jinsia: mwanaume
Sio mnene, mwili wa kawaida, sina magonjwa ya chronic, sivuti sigara wala sinywi pombe au kilevi chochote kile

Asante.... Nawasilisha
Aise pole sana ndugu yangu. Vp hospital ulishaenda?
 
Habari ndugu zangu, napenda niende moja kwa moja kwenye tatizo linalo nisibu

Nimekuwa nikipata tatizo la kubanwa kwa moyo na kuvuta pumzi kwa shida, hasa kama ikitokea nikiwa nimelala itanibidi niamke nikae kidogo nivute pumzi kwa shida ivyoivyo kidogo napata unafuu kuliko kuendelea kulala

Hali hii inanitokea mara chache sana, kama baada ya miezi kadhaa ndio hii hali inaweza kujitokeza

Umri miaka:23
Jinsia: mwanaume
Sio mnene, mwili wa kawaida, sina magonjwa ya chronic, sivuti sigara wala sinywi pombe au kilevi chochote kile

Asante.... Nawasilisha
Pole sana mkuu , nenda hospital kamuone doctor ,
Pia nikushauri punguza kula nyama kama unapendelea , punguza au kama unaweza acha kabisa
 
Pole sana mkuu. Jambo la kwanza shukuru bado uko hai na umzima.

Pili, kwanini unafikiri ni tatizo la moyo?
Jaribu kwenda hospital wafanye uchunguzi zaidi, vipimo vitawasaidia kujua kinachokusumbua.
 
Mkuu pole Sana,nimewahi kusumbuliwa na tatizo Kama lako,nilienda ndanda hospital,nikafanyiwa kipimo Cha ECG,kipimo kilionesha Sina tatizo,ilinibidi niende mhimbili ambako kilipimwa vimimo vingi Sana lakini sikukutwa na tatizo lolote be la moyo ,baada ya hapo nilienda bugando hospital nikakutana na daktari wa gastro intestinal cases,huyo ndo alikuwa chanzo Cha Mimi kupata nafuuu.

Kabla ya yote nakushauri uende hospital ukafanye vipimo vya moyo may be kunashida,lakini ukiwa katika hatua hiyo jaribu kupunguza mawazo pia acha kula vyakula ambavyo vina asidi , kwani huenda ikawa ni tatizo la mfumo wa chakula .

Fika hospital kwa msaada zaidi.
 
Pole sana mkuu. Jambo la kwanza shukuru bado uko hai na umzima.

Pili, kwanini unafikiri ni tatizo la moyo?
Jaribu kwenda hospital wafanye uchunguzi zaidi, vipimo vitawasaidia kujua kinachokusumbua.
Shukran
 
Mkuu pole Sana,nimewahi kusumbuliwa na tatizo Kama lako,nilienda ndanda hospital,nikafanyiwa kipimo Cha ECG,kipimo kilionesha Sina tatizo,ilinibidi niende mhimbili ambako kilipimwa vimimo vingi Sana lakini sikukutwa na tatizo lolote be la moyo ,baada ya hapo nilienda bugando hospital nikakutana na daktari wa gastro intestinal cases,huyo ndo alikuwa chanzo Cha Mimi kupata nafuuu.

Kabla ya yote nakushauri uende hospital ukafanye vipimo vya moyo may be kunashida,lakini ukiwa katika hatua hiyo jaribu kupunguza mawazo pia acha kula vyakula ambavyo vina asidi , kwani huenda ikawa ni tatizo la mfumo wa chakula .

Fika hospital kwa msaada zaidi.
Asante sana mkuu kwa ushaur.... Barikiwa
 
Habari ndugu zangu, napenda niende moja kwa moja kwenye tatizo linalo nisibu

Nimekuwa nikipata tatizo la kubanwa kwa moyo na kuvuta pumzi kwa shida, hasa kama ikitokea nikiwa nimelala itanibidi niamke nikae kidogo nivute pumzi kwa shida ivyoivyo kidogo napata unafuu kuliko kuendelea kulala

Hali hii inanitokea mara chache sana, kama baada ya miezi kadhaa ndio hii hali inaweza kujitokeza

Umri miaka:23
Jinsia: mwanaume
Sio mnene, mwili wa kawaida, sina magonjwa ya chronic, sivuti sigara wala sinywi pombe au kilevi chochote kile

Asante.... Nawasilisha
Nadhani una tatizo linalojulikana kama ANGINA, ni kwamba kwenye moyo haifiki damu ya kutosha na hivyo oxygen inapungua kuliko mahitaji. Waone wataalamu wa moyo wapo wengi
 
Oxygen hiyo mkuu haipiti kwa kutosha kwenda kwenye moyo,nenda hospitali kwa wataalam wakacheki uhai na ufanisi wa mishipa ya oksijeni kuingia kwenye moyo.
 
Back
Top Bottom