Msaada: Kwanini mbuzi ana korodani kubwa kuliko binadamu?

Kwa sababu mungu ndio kamuumba ivyo, alafu kingine zile pumbu zake tamu sana aswa za kuchoma
 
Sijui kwingineko lakini kule kwetu Usukumani hizo makitu zinaliwa!

Na hata mimi nimeshawahi kuzila pindi nikiwa mdogo.

Sasa hivi siwezi kabisa kuzila.

Ila nakumbuka zilikuwa tamu tamu hivi.
Hadi uume wa mbuzi unaliwa.
 
Kuna maswali mengine hayanaga majibu, ni sawa na kuuliza kwanini ng'ombe ana masikio makubwa kuliko binadamu,
Hapo no scientific reasons bora uulize kwanini pundamilia wanazaana wakiwa na mistari tu? View attachment 750735
Ngombe haoni vizuri so hutegemea masikio kisana, ni sawasawa na nzi anategemea macho sana ndo mana macho makubwa
 
Mmnh, labda kwa watu wa huko kwenu... Sisi huku kwetu Pangani wanaume wote wana korodani /hasua/kende/pumbu kubwa kuliko za huyo beberu. Natamani kuweka picha ya korodani zangu hapa ili kuthibitisha. Ila naogopa hiyo sheria ya sijui APOCA!!
Acha uongo wewe, kama ni kubwa ni matatizo yenu sio kawaida, unaweza kuwa mgonjwa na hujijui
 
Mnasema??
JamiiForums-1722209025.jpg
 
Na kwa nn simba ana sauti nzito kuliko ya tembo?
Simba anaishi kitemi na ni mtemi tangu utemi ulipomuanza, jamii ya paka wakubwa wengi wana membrane kwenye trachea yao, ko huwapa taarifa simba wengine kuwa wapo eneo hilo na lishamilikiwa, tembo hana hyo, tembo ni kama omnivores wengine wanaoishi kwa kutembea na kutafta maji kila pande ya mbuga, japo anasauti kubwa ya kumtisha adui yake ila sio kama ya simba, sa katika paka simba utemi wake kaupereka katika next level so saut yake pia ni kubwa sana, almost 8km of radius, na pia simba walideverope manywele shingoni kutokana na kupigana kila kukicha kwa madume, so ukiwa na nywele shingone survival na kushinda ni kukubwa kuriko usipokuwa nazo
 
Back
Top Bottom