Msaada kwa wenye simu za Adroid na jinsi ya kuunga GPS

g4cool

JF-Expert Member
Oct 18, 2012
424
198
Kwa wenye uzoefu na android, je ni simu gani yenye android ambayo ni bei rahisi na iko sokoni?? yani kuanzia laki mpaka laki na nusu??
na je ni nan anajua jinsi ya kuiunga HUAWEI ASCEND Y200 uwe unaiona kwa internet, yaani kwa GPS????????/
 
mkuu gps ni hardware ipo kwenye simu kama unavosema bluetooth au kioo au spika.
kuweza kutumia gps inabidi uwe na software/service ambayo itakua inatumia hio gps ili kuweza kufanya hayo unayotaka.

just search playstore gps service utakuta software za kutosha ila sidhani kama kuna free service za hio kitu
 
Kwa wenye uzoefu na android, je ni simu gani yenye android ambayo ni bei rahisi na iko sokoni?? yani kuanzia laki mpaka laki na nusu??
na je ni nan anajua jinsi ya kuiunga HUAWEI ASCEND Y200 uwe unaiona kwa internet, yaani kwa GPS????????/

yaani umenunua GPS unataka kuifunga kwenye simu ya android?
 
mkuu gps ni hardware ipo kwenye simu kama unavosema bluetooth au kioo au spika.
kuweza kutumia gps inabidi uwe na software/service ambayo itakua inatumia hio gps ili kuweza kufanya hayo unayotaka.

just search playstore gps service utakuta software za kutosha ila sidhani kama kuna free service za hio kitu

sawa kamanda lem search
 
Kwenye Android phone, nenda market place, halafu click search, then GPS, zipo nyingi sana na nyingi ni bure. Kuhusu kuunga kwenye simu hakuna unachotakiwa kufanya ni kudownload na ku-install, software inajua yenyewe jinsi ya kuongea na hardware.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom