Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Wakuu naomba kuwafikishia swali langu kwenu.
Naomba kujua kwa wale wenye uelewa kwenye masuala ya line za kimataifa.
Kwa mfano ukiwa nje ya Tanzania kama unataka kutumia line za Tanzania kwa matumizi ya kawaida, je inagharama ya kiasi gani? Na ni line gani iliyo nzuri kati ya Voda na Airtel?
Nimechoka kutumia vifurushi vya internet nataka kujiunga na dakika.
Nawakilisha.
Naomba kujua kwa wale wenye uelewa kwenye masuala ya line za kimataifa.
Kwa mfano ukiwa nje ya Tanzania kama unataka kutumia line za Tanzania kwa matumizi ya kawaida, je inagharama ya kiasi gani? Na ni line gani iliyo nzuri kati ya Voda na Airtel?
Nimechoka kutumia vifurushi vya internet nataka kujiunga na dakika.
Nawakilisha.