deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
Kuna ist bado mpya toka ianze kutumika Tanzania, tatizo lake ni unapopita kwenye maeneo ya roughroad hasa ikiwa barabara ina yale mashine ya kutumbukia na kuinuka unasikia milio fulan nyuma kama vitu au vyuma vinasuguana hv, na mlion nadhani unatokea pale inapofungwa shockup upande wa juu kwenye buti la nyuma, nimejaribu na fundi kutoa vile vifuniko vya kwenye buti ili tukaze zile nuts za shockup lakini bado inalia nikiwa sehem ya mashimo, barabara ya lami gari inatulia kabisa labda nipite lami yenye mawimbi sn ndio utavisikia kwa mbali, kwa anaejua hili tatzo naomba msaada kelele zinaboa sn hasa ukiwa umezima radio..