Albert Einstein
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 384
- 560
Mimi ni mwandishi mchanga wa vitabu, nimekutana na hii document somewhere; naomba kuuliza kwa Anayefahamu jina la font hizo kwenye picha hii
Mkuu wewe baki kuwa mwandishi masuala ya desktop publishing mwachie mwingineMimi ni mwandishi mchanga wa vitabu, nimekutana na hii document somewhere; naomba kuuliza kwa Anayefahamu jina la font hizo kwenye picha hii
View attachment 2009022
Mkuu wewe baki kuwa mwandishi masuala ya desktop publishing mwachie mwingine
Nimemjibu kama ushauri. Yeye kasema ni mwandishi wa vitabu, mtu akiwa serious hafanyi yote. Kuna watu wao kazi yao ni desktop publishing. Wanajua topography, wanajua kwanini hapa unaweza tumia font hii hapa huwezi. Ushauri niliyompa unalenga kuboresha kazi.Hawa ndiyo member wa jukwaa la IT. Hapa ndiyo kamaliza hivyo kujibu. Hakuna mtu aliyezaliwa anajua.
Hili jukwaa halina tofauti na jukwaa la MMU kwa sasa.
Nimemjibu kama ushauri. Yeye kasema ni mwandishi wa vitabu, mtu akiwa serious hafanyi yote. Kuna watu wao kazi yao ni desktop publishing. Wanajua topography, wanajua kwanini hapa unaweza tumia font hii hapa huwezi. Ushauri niliyompa unalenga kuboresha kazi.
Ndiyo maana kuna programmer na kuna anayedesign UI. Si kwamba programmer hawezi, ila ni kupata kitu kizuri. Unaweza kuwa na kitabu kizuri ila kila anayejaribu kukisoma ana ishia page ya pili.
Shida hata msomaji hajui kwanini anashindea kuendelea. Kumbe ni font tu uliyochagua inachosha.
Hiyo itakuwa inaitwa Computer ModernView attachment 2009264shu
Kizazi cha fb kimehamia humuHawa ndiyo member wa jukwaa la IT. Hapa ndiyo kamaliza hivyo kujibu. Hakuna mtu aliyezaliwa anajua.
Hili jukwaa halina tofauti na jukwaa la MMU kwa sasa.