King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,833
- 5,346
Huoni unalemaza ubongo....jf ni kama slope hivini kweli ila jamii forums ni Zaidi ya google
Huoni unalemaza ubongo....jf ni kama slope hivini kweli ila jamii forums ni Zaidi ya google
hapana uwezi lemaza ubongo kwa stail iyo coz kila siku inatakiwa uongeze kitu kipya kwe ubongo wak ili kukuza uwelewa wako….Huoni unalemaza ubongo....jf ni kama slope hivi
apana smart phone nliyo nayo ni mizinguo nnatumia kama wifii coz nnatumia nokia lumia af kuna baadhi ya application walizitoa ikiwemo whatsupKama una smartphone,
Tumia WhatsApp web.
bila kutumia smart phone ku scan ntafanikiwa….
Okay,apana smart phone nliyo nayo ni mizinguo nnatumia kama wifii coz nnatumia nokia lumia af kuna baadhi ya application walizitoa ikiwemo whatsup
Yahbila kutumia smart phone ku scan ntafanikiwa….
pow ndo nafanya majaribio apOkay,
Fanya kama walivyosema wadau.
ndo na jaribu ku downlod apa
Kama pc yako ni chini ya 2gb ram usiidowload ni ni nzito mnook ngoja nijaribu ku downlod af ntaleta mrejesho
nimesha downlod ila naona ime bezii san san kwenye gem.
ipo juu ya 2gb ila baada yaku downlod imeanza kuleta mizinguo kama nlivo andika apo juu…...Kama pc yako ni chini ya 2gb ram usiidowload ni ni nzito mno
mm nilikuawa natumia yenye hizo specs na niliinunua 2017 nimetumia hadi 2019ipo juu ya 2gb ila baada yaku downlod imeanza kuleta mizinguo kama nlivo andika apo juu…...
kwani ww unatumia app gani
pow ila kwa msaada wa wengine ungesem apaaNi pm kam bado ujasaidika na maoni,majib ya wadau
acha majungu mim mwenyewe n mtund unaweza kuta kuliko wew , ila tunazidian uwezo na atuwezi kuwa saw tunafanya kubadilishana mawazo usijione wew ni mkali kuliko mwingine ,,,,,,,,,du mkubwa kweli wewe sio mtundu kabisa kifupi usishindwe kujifunza vitu vipya kwa hofu ya kuharibu hako kakomputer kako
Mkubwa kubali yaishe una hofu ya kuhalibu hako kalaptop kako ka laki na nusuacha majungu mim mwenyewe n mtund unaweza kuta kuliko wew , ila tunazidian uwezo na atuwezi kuwa saw tunafanya kubadilishana mawazo usijione wew ni mkali kuliko mwingine ,,,,,,,,,
umekazarau san mbona umetaja ela yakubadilisha mboga sku moja tukiwa maeneo yakujidaii, hii n mashine kubwa ww labda kam yako y laki na nusu uwezi fananisha na ya washamba wengine apa ndo naamini ule msemo unasem kwenye kundi l mamba kenge akosekanii….Mkubwa kubali yaishe una hofu ya kuhalibu hako kalaptop kako ka laki na nusu