mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 673
- 917
Habari wana jukwa kama nilivo eleza apo juu mim ni mtumiaji wa computer ila sina utundu nayo sana kwa undani baada yakununua yangu nina kama miezii sita ivi natumia sana san kwa matumizi ya mtandaoni pamoja na kujisomea coz napenda kusoma san mtandaoni.
1;je application gani nizamuhimu kuwa nazo kwenye pc ,
2;ukitaka ku coment hasa kwenye facebook unafanyaje coz baada yakuandika coment nashindwa ku post,
3; natumia pc wakati window defender ime expiree kuna madhara gani coz nikitaka ku update inaandika waiting tu aifanyii chochote mpaka masaa mawili,
4;umuhimu waku restart mashine . nategemea majibu yenu kama kuna kingine chakufanya kwenye mashine tushirikishane kwa wale weny uwelewa wa IT pamoja n wenye uzoefuu ili twende sawa na globalization na pia natumia window 10...….
1;je application gani nizamuhimu kuwa nazo kwenye pc ,
2;ukitaka ku coment hasa kwenye facebook unafanyaje coz baada yakuandika coment nashindwa ku post,
3; natumia pc wakati window defender ime expiree kuna madhara gani coz nikitaka ku update inaandika waiting tu aifanyii chochote mpaka masaa mawili,
4;umuhimu waku restart mashine . nategemea majibu yenu kama kuna kingine chakufanya kwenye mashine tushirikishane kwa wale weny uwelewa wa IT pamoja n wenye uzoefuu ili twende sawa na globalization na pia natumia window 10...….