Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataalamu wa mtandao, naomba kuuliza kuna app yoyote inayoweza kuhifadhi music yako iliyo kwenye simu,? namaanisha nataka kuuza simu na miziki yangu naitaka nihifadhi ili nikinunua simu mpya na install upya app napata miziki yangu yote.
Weka kwenye google drive yako. Miziki yako, picha na vingine unavyotaka kuhifadhi. Ukinunua simu utasign in tena na kuvipata.
Ndio maana nina mafaili yangu tangu ninunue kimeo cha kwanza. Google ndio mpango mzimaWeka kwenye google drive yako. Miziki yako, picha na vingine unavyotaka kuhifadhi. Ukinunua simu utasign in tena na kuvipata.
Unamaanisha nini unaposema "Google Drive haina uwezo wa kuhifadhi Audio but Video inawezekana"?Tuanze, Hiyo Music ni Audio Au video? App ya Google Drive Haina uwezo wa kuifadhi Audio But Video inawezekana.
Google driveWataalamu wa mtandao, naomba kuuliza kuna app yoyote inayoweza kuhifadhi music yako iliyo kwenye simu,? namaanisha nataka kuuza simu na miziki yangu naitaka nihifadhi ili nikinunua simu mpya na install upya app napata miziki yangu yote.
Tuanze, Hiyo Music ni Audio Au video? App ya Google Drive Haina uwezo wa kuifadhi Audio But Video inawezekana.
nielekeze kuhusu telegram
Aahh mkuu telegram inaweza kufanya hayo kumbe?Huna Memory card? Huna laptop? Huna telegram?
Asante sana mkuu. Nina telegram lakini nilikuwa sijui lolote kuhusu hili. Kwahiyo naweza kuhifadhi chochote kwenye groupFungua account ya telegram. Unga namba yako kisha unda Grup. Tupia hizo nyinbo kwenye Grup. Baada ya Hapo restore simu yako kisha uza.
Ukinunua simu nyingine, pakua Telegram kisha login. Utalikuta like grup lina files zako
Kutumia Dropbox unaweza tunza takataka zako zote humo, na unaweza kuzitumia popote pale na device yoyote ile yenye mtandao.Wataalamu wa mtandao, naomba kuuliza kuna app yoyote inayoweza kuhifadhi music yako iliyo kwenye simu,? namaanisha nataka kuuza simu na miziki yangu naitaka nihifadhi ili nikinunua simu mpya na install upya app napata miziki yangu yote.
Aahh mkuu telegram inaweza kufanya hayo kumbe?
Ahaa shukrani sana mkuu. Yani sikua naelewa chochoteNdio tena huitaj hata kuunda grup, telegram inakupa cloud yako mwenyew by default tu