Kuna Aircraft eng. siku hizi kumbe nao wanajitahidi kuwa na kozi nyingi sasa.Kuna engineering kozi tatu .............................,..............
*mechanical engineering
* automobile engineering
*Air craft engineering
Air craft and maintenance engineering inahusika Mkuu !! mzigo wa ada m10.Kuna Aircraft eng. siku hizi kumbe nao wanajitahidi kuwa na kozi nyingi sasa.
Sa Si typing error mkuu mbona unafanya mambo yawe magumu."Msahada"!?Kumbe ndo maana shahada zimekuwa nyingi sana mtaani!
Sio typing error, ni uzembe mtu kufika kidato cha sita halafu hujui kuandika lugha yako ya taifa. Ndo hawa hawachelewi kukufanyia operation ya kichwa badala ya mguu.Sa Si typing error mkuu mbona unafanya mambo yawe magumu.
Tenx soUnataka kusoma kozi gani kwanza?
Ingia hapa www.nit.ac.tz
Ni website ya chuo majibu ya maswali yako utapata hapo
Una umama sana wewe kijana, ndo maana unaandika kwa mkato na kwa maringo. Hata hiyo fomu ya maombi utakosea kuijaza maana uwezo wako ni wa kusoma Certificate sio degree.Povu lnaktooka ur out ov thread bitch
ata = hataWakati mwingine
Uandishi unakera
Eti msahada! Ivi ni kutokujali au kweli kuandika neno msaada ni shida? Ina maana ata kulisoma na kulisikia mahali flani kwamba linaandikwa ivi pia hujawahi mwandishi?
Mkuu kimeimarika sasa hivi kuna kozi 70 ikiwepo na kozi ya urubaniKuna Aircraft eng. siku hizi kumbe nao wanajitahidi kuwa na kozi nyingi sasa.