ntikanushwq
Member
- Nov 8, 2017
- 38
- 10
Habari za weekend wanajamvi. Kama mada inavyojieleza naomba ufafanuzi wa kina juu ya nadharia zifutazo za sintaksia:_
1.Nadharia ya ukuu na umiliki (government & binding theory).
2.Nadharia ya reksika za kikazi(lexical function theory).
3.Nadharia ya uhusiano(relation theory).
NB. Tuwe wastaarabu matusi si mahala pake.
1.Nadharia ya ukuu na umiliki (government & binding theory).
2.Nadharia ya reksika za kikazi(lexical function theory).
3.Nadharia ya uhusiano(relation theory).
NB. Tuwe wastaarabu matusi si mahala pake.