Msaada kwa wanafunzi wa Udom

highness long

JF-Expert Member
Sep 30, 2017
515
509
Kwa yeyote ambae yupo udom social science naomba anipelekee fomu zangu ofisi ya katibu mkuu wizara ya Elimu,sayans na teknolojia jengo la taaluma no, 10, . kama upo tayari Tafadhali nisaidie, ntakutumia fomu hizi kwa njia ya email na pesa ya printing ntakutumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una hata 10,000/= yakunipa nakupelekea hata leo/sasahivi maana nimekaukiwa hata nauri ya kurudi home sina maana kidogo nipo free kwaleo UE imeachia kidogo, ukinipa maelezo tu, kama iyo office aihusiani na mambo ya masomo ni rahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom