Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 823
- 845
Habari wadau!
Natumia solar ya mjerumani walt 50 kwa zaidi ya mwaka, solar battery ya maji.
Cha kushangaza solar hii sipati umeme usiku, nikitaka kuchaji simu yangu na za watoto wangu inabidi nichaji mchana pindi jua linapowaka sababu usiku hakuna umeme.
Naomba msaada wenu, Je, Ni kweli solar walt 50 haiwezi kuchaji simu walao 5 tu na kupata umeme KIPINDI CHA usiku walao kuwasha taa/bulb 3 tu?
Na kama inawezekana wapi mimi nimekosea?
Natumia solar ya mjerumani walt 50 kwa zaidi ya mwaka, solar battery ya maji.
Cha kushangaza solar hii sipati umeme usiku, nikitaka kuchaji simu yangu na za watoto wangu inabidi nichaji mchana pindi jua linapowaka sababu usiku hakuna umeme.
Naomba msaada wenu, Je, Ni kweli solar walt 50 haiwezi kuchaji simu walao 5 tu na kupata umeme KIPINDI CHA usiku walao kuwasha taa/bulb 3 tu?
Na kama inawezekana wapi mimi nimekosea?