bukoba04
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 1,401
- 1,287
Habar wanajamvi..
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza...
Naomba msaada kwa wale ambao washawahi kununua vitabu online (kwa maana ya mtandaoni) wanisaidie namna ya kufanya..!maana sijawahi kabisa kufanya hili jambo..
Nimekuwa navutiwa sana na vitabu vinavyouzwa mitandaoni, ingwa nimekuwa nashindwa kujua namna ya kufanya au kuanzia....
Nashukuru sana wanajamvi
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza...
Naomba msaada kwa wale ambao washawahi kununua vitabu online (kwa maana ya mtandaoni) wanisaidie namna ya kufanya..!maana sijawahi kabisa kufanya hili jambo..
Nimekuwa navutiwa sana na vitabu vinavyouzwa mitandaoni, ingwa nimekuwa nashindwa kujua namna ya kufanya au kuanzia....
Nashukuru sana wanajamvi