GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,196
Nimeona kuna ujenzi wa barabara mpya unao jengwa kusini mwa jiji la arusha, nimesikia kuwa bara bara hiyo inatokea ngara mtoni kwenda mapaka usa river kupitia kusini mwa jiji. Wakati natoka ISM kuchukua mtoto nikaona ujenzi huo ukiendelea upande wa viwanja vya magereza kando ya uwanja wa ndege arusha, karibu na eneo pafanyikapo maonyesho ya karibu fair.
Kwa wenyeji wa jiji kuna mwenye area map kuonyesha kwenye hiyo barabara inapita?
Kwa wenyeji wa jiji kuna mwenye area map kuonyesha kwenye hiyo barabara inapita?