bishankara
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 140
- 8
Naomba wadau mnisaidie kunijuza shule nzuri ya private kwa hapa dar au mikoa ya karibu na dar inayofundisha mchepuo wa cba (a level)
hiyo comb aisee mara nyingi ipo ktk shule za govt pia kwa private najua shule 1 ipo mikoa ya kaskazin inaitwa agape.
Naomba wadau mnisaidie kunijuza shule nzuri ya private kwa hapa dar au mikoa ya karibu na dar inayofundisha mchepuo wa cba (a level)
asante mkuu, naomba data zote kuhusu results trend at least ya three to four years na pia naomba fee structure yao.
Naomba wadau mnisaidie kunijuza shule nzuri ya private kwa hapa dar au mikoa ya karibu na dar inayofundisha mchepuo wa cba (a level)
agape kimatokeo wapo vizuri kwa kwel but ada c chin ya 1.7 milion na kingne ni kwamba ile n seminar so wanachukua waluther peke yao.
Ushauri wangu nenda MAJENGO sio bording ila wana hostel na ada yao n kidogo na kimatokeo wapo vizuri sanaaa