Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
Nina NGO yangu inaitwa Changamoto Youth Development Organization,bado ni changa hivyo nahitaji msaada wa kupata wafadhiri watakao nisaidia kuiendeleza,najua wadau wa Jf wapo wanamiliki NGOs na zimefanikiwa hivyo wakinipa connection ya kupata wafadhiri nitafurahi sana.
Kwa kuifahamu zaidi NGO yangu pitia web hii www.changamotoyouth.com
asanteni
Kwa kuifahamu zaidi NGO yangu pitia web hii www.changamotoyouth.com
asanteni