MSAADA KWA NGOs

Faru dume

JF-Expert Member
Dec 7, 2012
471
116
Nina NGO yangu inaitwa Changamoto Youth Development Organization,bado ni changa hivyo nahitaji msaada wa kupata wafadhiri watakao nisaidia kuiendeleza,najua wadau wa Jf wapo wanamiliki NGOs na zimefanikiwa hivyo wakinipa connection ya kupata wafadhiri nitafurahi sana.
Kwa kuifahamu zaidi NGO yangu pitia web hii www.changamotoyouth.com
asanteni
 
Back
Top Bottom