pol dauda
Senior Member
- Sep 21, 2017
- 127
- 45
- Thread starter
- #21
Umeeleza vya kutosha ndg ahsnthe kwa adviceMkuu kwanza nikupe hongera kwa kuwa na nia ya kulitumikia jeshi, nijuavyo mm, siku hizi ili uwe mwanajeshi, police, uhamiaji, tiss, zimamoto, magereza lazima upitie jkt.....
Upige depo, six months upewe mkataba kama service man ambao uwa ni miaka miwili, then ndo utasubili neema ya kwenda popote kati ya huko nlikotaja lakin kwa wewe ambaye unahitaji kuwa TPDF itakubidi ujaribu kuonana na mshauri wa mgambo, wako halmashauri zote, uko utaeleza nia yako na kwa iyo professional yako hope utapata nafsi.
Kwa maoni yangu hata naona unri bado unakuruhusu